SAKATA LA KUPOTEA RAJAB OMARI MTANA KIJIJI CHA LULAGO HANDENI 2013
Waislam 10 wamehukumiwa kunyongwa kwa tuhuma za kuua mlinzi mmoja.
Kufikia hukumu hii kuna mengi na chanzo chake kilianzia katika biashara ya hiliki na malipo ya ushuru kijijini Lulago.
Ninaanza leo kueleza kisa hiki kama...