Leo nimecheka balaa!
Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa.
Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza:
”Wanaoshuka Lupaso....Lupaso.....Lupaso sogea mbele”
Mie nikapigwa butwaa, mara konda akaongeza:
”Suka...