Ndugu wanajamii,
Katika mazingira ya sasa, uzalendo na maadili ya taifa yamekuwa masuala muhimu sana yanayohitaji kufanyiwa kazi kwa bidii, hasa miongoni mwa vijana. Kama taifa, tunahitaji kizazi kinachothamini maadili, mshikamano, na uwajibikaji kwa maendeleo ya jamii.
Kutokana na hali hii...
Katika ulimwengu wa leo, tunashuhudia kizazi kipya cha vijana waliozaliwa miaka ya 2000 wakikumbana na ukosoaji mkubwa kutoka kwa jamii. Mara nyingi wanatuhumiwa kuwa na matatizo mbalimbali kama vile UTI, uchafu, kupenda pesa, na kuonekana wajuaji. Swali kubwa ni: Je, wanatakiwa waishi kama watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.