Hivi majuzi, video ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha askofu mmoja wa Nigeria akifanya ibada isiyo ya kawaida ya kugusishana ndimi na askofu mwingine wa kiume.
Tukio hili lilizua mjadala mkali na hisia tofauti miongoni mwa waumini na umma kwa ujumla.
Katika video hiyo, askofu...