maadili kwa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. adriz

    Kuweka TV ndani ya nyumba ni kuchochea watoto kuharibikiwa maadili na tabia

    Moja kwa moja.. Ukichunguza kwa makini vitu vikubwa vinavyongaliwa majumbani kwenye Tv ni tamthlia , movies na miziki na ndani ya hivyo vitu miongoni maudhui makubwa ni; 1. MAPENZI : humo utakuta kumejaa kutongoza , romantic scenes na mambo mengine ambayo hayafai watoto kuyaona wala...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

    Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi? Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi? Jibu ni hili hapa chini 👇👇👇 Mkuu wa Dunia hii almaarufu Shetani ibun Ibilisi ndiye anayewapa...
  3. JanguKamaJangu

    RPC wa Mbeya azindua Kampeni ya "Tuwaambie kabla hawajaharibiwa"

    "TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA" Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Benjamin Kuzaga Agosti 28, 2024 akiwa ameambatana na Watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Mbeya amezindua Kampeni ya "Tuwaambie kabla hawajaharibiwa" ambayo imezinduliwa...
  4. Replica

    Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

    Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo...
  5. Pdidy

    Wikiendi Njema: Maombi yangu kwa wanawake wote wa JF wawe wenye kutenda haki na kuwa kwenye unyoofu

    BINTI YANGU NJOO NIKUAMBIE HAPA. Mithali 20:7 [7]Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, watoto wake wabarikiwa baada yake. Haki katika ndoa yako ambayo Mungu amekupa hakikisha unaishi katika haki, wamama wengi siku hizi hasa hawa mabinti wanajivunia watoto wao wakiwa wazuri wa sura, wakiwa na...
Back
Top Bottom