maadili mabaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Damaso

    Jamii ya kinafiki? Kuadhimisha Watu Wenye maadili Mabaya Katika Jamii Yetu.

    Katika dunia ya leo, tunashuhudia hali ya kushangaza sana ambapo watu wanaofanya maovu wanaheshimiwa na kutukuzwa, na wakati mwingine kuwa mfano wa kuigwa, watu ambao maisha na mienendo yao sio yenye staha katika maisha ya kawaida. Hali hii inanifanya nijiulize: Kuna jamii ina haki ipi katika...
  2. Yesu Anakuja

    Tuzuieje shule za wasichana watoto kusagana?

    Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu. Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

    Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi? Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi? Jibu ni hili hapa chini 👇👇👇 Mkuu wa Dunia hii almaarufu Shetani ibun Ibilisi ndiye anayewapa...
  4. Strong and Fearless

    Hiki kizazi chetu kimeharibika

    Yani hii generation yetu imeharibika. Wanaume wanaojitambua na wapo tayari kuoa ni wachache na wanawake wanaojitambua ambao wako tayari kuolewa ni wachache, waliobaki wote ni vichefuchefu. Wanaume wanakimbia majukumu yao na wana uwoga wa maisha na wanawake wanataka wanaume wenye pesa tu. Na...
Back
Top Bottom