maadili mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kuweka TV ndani ya nyumba ni kuchochea watoto kuharibikiwa maadili na tabia

    Moja kwa moja.. Ukichunguza kwa makini vitu vikubwa vinavyongaliwa majumbani kwenye Tv ni tamthlia , movies na miziki na ndani ya hivyo vitu miongoni maudhui makubwa ni; 1. MAPENZI : humo utakuta kumejaa kutongoza , romantic scenes na mambo mengine ambayo hayafai watoto kuyaona wala...
  2. Mwanaume ujasiri wa kusuka na kuvaa hereni anautoa wapi?

    Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi? Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi? Jibu ni hili hapa chini πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Mkuu wa Dunia hii almaarufu Shetani ibun Ibilisi ndiye anayewapa...
  3. S

    Enyi TCRA, siyo kosa kwa Nape kutukana mitandaoni?

    Hii ni post ya ya mhe Nape ya 23 May 2024 akimrushia tusi mwananchi. Waziri Nape anamdhalilisha sana mhe rais kwa tabia yake ya kutukana watu mitandaoni. Yeye kama waziri wa Habari na Mawasiliano alipaswa kuwa mfano mwema wa matumizi mazuri na salama ya mitandao. Lkn Nape mara nyingi amekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…