maadili viongozi wa dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Tabora: Viongozi wa dini wataka viongozi wapya wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kuwa na hofu ya Mungu na kuwatendea haki wananchi

    Wakuu, Baadhi ya Viongozi wa dini katika kata ya Kigwa wilaya ya Uyui mkoani TABORA wametaka viongozi wa serikali za vijiji na vitongoji katika kata hiyo waliochakuliwa katika uchaguzi wa Serikali za mitaa mwezi uliopita kutenda haki na kuwa na hofu na Mwenyezi Mungu wakati wakitimiza majukumu...
  2. B

    Viongozi wa dini wapongeza uzinduzi wa akaunti ya sadaka ya benki ya CRDB

    Dar es Salaam. Tarehe 27 Agosti 2024: VIONGOZI wa dini nchini wameipongeza Benki ya CRDB kwa kuzindua Akaunti ya Sadaka mahsusi kwa ajili ya taasisi za dini kukusanya sadaka, zaka na michango mingine inayolenga kuwarahisishia waumini kumtolea Mwenyezi Mungu wakati wa ibada au hata wanaposhindwa...
  3. M

    Serikali hakikini taaluma za wachungaji na masheikh ili kulinda heshima ya watanzania juu ya waovu na matapeli

    Wazo kuu. Hili wazo mlifanyie kazi, Kwa maslahi mapana ya nchi zetu, ni kweli katiba ya nchi inatambua uhuru wa kuabudu, Lakini serikali kupitia taasisi zake mnafaa kuangazia hilo kwani itasaidia kulinda utu wa mtanzania kutikana na viongozi wa dini wenye tamaa ambao huishia kuwatapeli wananchi...
Back
Top Bottom