Hili jambo limesumbua sana wazazi, na shule zingine huwezi kiuamini kama wanafanya mchezo huo kwa sababu ni shule za dini mno,ila watoto wakiwa pale, wanaanziana huo mchezo mchafu.
Hivi hizo shule hazina waalimu? hawana intelijensia ya shule, mbona wakifanya uchunguzi wanafunzi wenyewe...
Kwa ninayoyaona mtandaoni na maisha ya uswahilini nimeogopa kuwa na watoto wa kike nahisi watakuja kunidissapoint .
This generation sucks inaleta disappointment sana kuona blunders zinazofanywa na this gender.
Humo Telegram na WhatsApp pamejaa magroup ya watoto wa kike wadogo kiumri wanajiuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.