maadili ya mtanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Wanaume tumeharibika. Wanawake na watoto wanaporomoka kwa sababu hatuwajibiki. Tuamke na tufanye mabadiliko sasa!

    Wanawake wenu na watoto wenu wanaharibika, si kwa sababu yao pekee, bali kwa sababu nyinyi ni watu wa hovyo! Mmesahau majukumu yenu kama viongozi wa familia na jamii, mmekaa kimya mkiona kila kitu kinaporomoka huku mkijifanya hamuoni! Mmegeuka wanaume wa mzaha—watu wa starehe, watu wa mizinga...
  2. Cute Wife

    Septemba 1973 yalifanyika maandamano makubwa kupinga mavazi yasiyo na heshima! CCM walianza zamani kupoteza muda kwenye mambo ya ajabu

    Wakuu, Yaani kutoka TANU mpaka kufikia CCM bado wameendeleza kuweka nguvu kwenye mambo yasiyo na maana na kuacha vitu ambayo vinadidimiza taifa kwenye maendeleo ya sekta mbalimbali. Yaani watu na akili zao walitoka barabarani kupinga vimini, wavaa vikaushi sijui na zile suruali skini za...
Back
Top Bottom