maadili ya viongozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

    SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais iliyoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutekeleza Sheria ya Maadili...
  2. J

    Tunapitia nyakati Ngumu RC kutuhumiwa kubaka, Paroko kutuhumiwa kuuwa albino, Mbunge kumtuhumu Waziri kuhujumu uchumi!

    Haya mambo Unaweza kuyaona ni mepesi lakini katika Ulimwengu wa Roho Siyo Ishara nzuri Walawi na Maustaadh tuzidishe maombi kwa Mungu wa Mbinguni Ahsanteni Sana 🐼 SOMA - MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT - Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na...
  3. R

    Pre GE2025 Umma wa watanzania hasa VIONGOZI wa DINI, kemeeni Rushwa ya waziwazi ya Pikipiki za Rais Samia

    1. Nimewasikia mkijinadi kukemea maadili kwenye Idd Al Adha, . Kumomonyoka kwa maadili si ushoga na ngono. and the like 2. Wizi, Rushwa , ukatili , uongo na vitu kama hivyo ni mmomonyoko wa maadili tena mkubwa 3. Samia anagawa pikipiki za rushwa ya wazi hammkemei, halafu mnasema nyie ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…