Mtu akisha kosa aibu anaweza fanya au ongea jambo lolote lile.
1. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu.
2. Ilikuwa ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena.
3. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua...