Kama una mdogo wako wa kike awe makini aache tamaa ya mambo ambayo hana uwezo nayo, kwa sababu mabinti wengi wanaingia kwenye vishawishi vya kutembea na wanaume walio wazidi umri (Sugar dads) ili kupata fedha.
Pia mdogo wako wa kiume wa chuo mwambie afunge zipu asome kwani wengi wa wanachuo...
Nchini Tanzania, mapambano dhidi ya HIV/AIDS miongoni mwa vijana wenye umri wa miaka 15-25 yanabaki kuwa kipaumbele muhimu katika afya ya umma. Kulingana na data za hivi karibuni, kiwango cha maambukizi ya HIV miongoni mwa wanawake vijana katika kundi hili ni takribani 3.4%, wakati miongoni mwa...
Copy and paste kutoka kwenye page ya HIV living postive instagram.
"Naitwa XXX naishi iringa naomba msaada napitia kipindi kigumu sana sijui nianzie wapi nina stress nyingi sana nimeolewa na nimeishi na mtu wangu kwa miaka miwili sasa, tulipima pamoja na tulikua negative 2022, Mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.