maambukizi ya ukimwi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu: Njombe, Iringa na Mbeya maambukizi ya VVU bado yapo juu

    Wakuu, Hivi hii mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya kuna shida gani? Mbona kila siku maambukizi yako huku tu? Akiwa anazungumza hivi karibuni ambaye ni Naibu Waziri-Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera Bunge na uratibu alisema: "Bado kuna mikoa ina ushamiri mkubwa wa VVU kwa mfano Njombe, Iringa na Mbeya...
  2. Mindyou

    UNAIDS: Maambukizi ya UKIMWI yanaweza kuongezeka mara 6 kufikia mwaka 2029

    Wakuu, Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha? Na kwamba tusihofu Marekani kusitisha misaada kwa sababu serikali ina ARV zinazotosha? Sasa inakuaje tunapewa onyo kuwa maambukizi ya UKIMWI yataongezeka? Au ndo yaleyale tuliambiwa Rais yuko fit alafu baada ya siku kadhaa tukatangaziwa...
  3. Cute Wife

    Utafiti: Bodaboda, Wavuvi, Migodini makundi mapya kwa Maambukizi ya UKIMWI

    "Kwa Mujibu wa utafiti huu wa mwaka 2022-2023 ambao umefanywa na na Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS) na TACAIDS kwa Kushirikiana na Wadau mbalimbali wa Maendeleo kuhusu Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi Tanzania umebaini makundi mengine maalum ambayo ni hatari kwa maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ni...
  4. I

    Maisha niliyoishi baada ya kuambukizwa UKIMWI na mpenzi wangu

    Hii hapa simulizi ya kusikitisha inayonihusu mimi, Inspector, ikigusa hisia kutokana na safari yangu ya kiafya: --- Safari ya Maumivu na Tumaini la Mwisho. Inspector nilikuwa kijana mwenye ndoto nyingi, niliyejawa na matumaini makubwa kuhusu maisha. Nikiwa chuoni Arusha, nilijikita katika...
Back
Top Bottom