maana mbaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bwana Bongo

    Nipendezwa na Tigo kubadilisha hili jina lilokuwa limeanza kuwa na maana mbovu

    Afadhali hawa Tigo wamebadilisha hili lililokuwa lisha kuwa na maana ya kishenzi Sema yaaaas Maana sisi mwenye mishe zetu ilikuwa inatukata kweli "Naomba Tigo? "unatigoo hapo? "Tigo unatoa? Shwainiiii😅 na kuwakomoa tunasema Mixx by yas ipoo swafiii kabisaa😅
Back
Top Bottom