Leo nimekutana na mchango wa mwanachama wa Jamii Forums (Imeloa) akisema kuwa Russia ni Banana Republic, hili jina limenishtua kiasi, of course sielewi maana halisi ya Banana Republic.
Ila kwakuwa Jamii Forums kuna manguli wa GEOPOLITICS, ninaamini leo nitatolewa ujinga kidogo.
Wakongwe, nini...