Ndio maana kila siku ninasemaga Wakenya wanayo safari ndefu sana ya kujitambua kwa sababu wamekubali kuwaweka wazungu kwenye vichwa vyao.
Sasa hivi huko mitandaoni utawasikia Wakenya " Generation Z this" Generation Z that"
Na wanaona fahari kweli kuonekana wanajua kuhusu Generation Z...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.