Sina uzoefu mwingi wa matumizi ya mitandao ya kijamii, bado mshamba kiasi, na neno KARMA nimelipata humuhumu jamii forums. Katika kutafutatafuta maana ya KARMA kwa kutumia kamusi za humuhumu mitandaoni nikaelewa kuwa KARMA ni malipo anayoyapata mtu kutokana na maovu aliyowafanyia wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.