maana ya ndoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Ndoto hii ina maana gani? Inanitisha sana

    Poleni na majukumu wakuu. Jana usiku usingizi uliwahi kukata nikajikuta nimeamka saa 7 usiku nikatulia na kutafakari mawili matatu ilivyo fika saa 9 usiku nikaanza kupata usingizi. sasa ndoto yenyewe ni hii niliota nipo naelekea chooni ile tu naingia nikang'atwa na nyoka kwenye mguu wa...
  2. K

    Hii ndoto ina maana gani katika ulimwengu wa kiroho?

    Wakuu, Hapa nimeshtuka toka usingizini maana najihisi kama sijui nilikua nimekufa vile. Eti nimeota niko juu mbinguni, niko na ndugu na jamaa zangu waliokufa siku nyingi, tukawa tunaiangalia dunia kutokea mbinguni, tukawa tunashangaa jinsi watu huku duniani wanavyoteseka, me nikawa nawaambia...
  3. baharia 1

    Nasumbuliwa na hii ndoto

    Habari wakuu Mim huwa naota ndoto nyingi ila hii yajuzi nimeona niitilie manani kidogo maana mpaka leo sijapata majibu Mimi naishi hapa hom na mam lakn kwasas anaumwa umwa kdg, mzee alishafariki na kuna kaka angu alifariki mda sana kabla hata mimi sijaanza shule nilikuwa mdogo ila nakumbuka...
  4. M45

    Nini maana ya ndoto ya kupaa na kuelea angani?

    Nimekuwa nikiota ndoto nikiwa napaa na kuelea angani mara nyingi na kurudi chini, lakini katika mawazo yangu ningetamani niendelee kupaa tena, ni ndoto nzuri kuiota,lakini sijuwi inamaanisha nini iwapo mtu akiota ndoto ya namna hii.
  5. Mhafidhina07

    Naomba kueleweshwa maana ya ndoto hizi?

    Sijafahamu kama ninaishi katika hali halisi au katika eneo la kufikiria tu. Kuna tabia ya kuamka saa 8 usiku, saa 6 au saa 9, na sababu ikiwa ni ndoto – iwe mbaya au nzuri – huwa naamka. Kwa bahati mbaya, ndoto za sasa zimejenga hali ya tahadhari na kunipa hofu kwamba kuna kitu kibaya...
  6. KING MIDAS

    Nimeota nadaiwa USD. 6000/ kwa kulala siku 3

    Hii ndoto nimeitafakari sana Na sijaielewa. Nimeota niko kwenye nyumba Fulani nzuri sana, ndio naamka kitandani. Nikaanza kujiuuliza hapa ni wapi? Nikaingia washroom, nikapuuh kisha nikasema nitoke nje huenda nikajua niliko. Kiunoni Nina taulo tu, nikawaona mabinti wamekaa kwa nje, nikawa...
  7. Mla Bata

    Nini tafsiri ya ndoto hii

    Wasalaam, Watafsiri ndoto, watu wa Imani, manabii, wanajimu....n.k, naombeni msaada wenu. Ipo hivi..... Kuna aina ya ndoto nimekuwa nikiota kwa muda mrefu sana kwenye maisha yangu, over 7+ years, nashindwa kuelewa maana yake na kwanini zimekuwa zikijirudia kwa namna yake kwenye hali tofauti...
  8. Under-cover

    Anayeweza kuitafsiri hii ndoto anisaidie

    Samahani, mimi leo nimeamka nikapigiwa simu na mdogo angu akanambia kuwa mama yetu aliota usiku wa kuamkia leo kuhusu mimi, kuwa nilikuwa niko porini, alafu watu wananisemesha ila mimi siwasikii. NDOTO HIYO. Baadae saa 11 jioni, nilikuwa chumbani peke angu alafu mlango nilikuwa nimeuegesha ila...
  9. mbasa ya konge

    Nimeota nimeua simba halafu watu wakaninyanyua juu na kunishangilia kama shujaa, ndoto hii ina maana gani?

    Usiku wa kuamkia Leo nimeota nimeua Simba baada kumuua huyo Simba baadhi ya watu wakanibeba kwenye mabega Yao wakinipitisha Kila mtaa huku wakiimba "Shujaa wa nchi". Asubuhii hii nimemshirikisha ndugu yangu mmoja kuhusu hiyo ndoto na amaitafasiri kwa kuniambia kuwa nitakuwa raisi mwaka ujao...
Back
Top Bottom