maandalizi ya michuano ya afcon tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chiembe

    Hivi kweli Tanzania tuko serious na maandalizi ya AFCON? Kwa Mkapa panakarabatiwa? Arusha kuna hata jiwe limewekwa? Dodoma?

    Najiuliza tu, kama kweli kuna umakini katika hili, mbali na katibu mkuu wa wizara kukesha gym na mitandaoni, sioni alichokifanya katika Wizara, ni mambo ya status quo ante. Arusha na Dodoma, tuliambiwa watajenga viwanja, kuna dalili?. Naona Rwanda anakarabati na kujenga viwanja kama vile kuna...
  2. ngara23

    Kwa maandalizi hafifu ya kuandaa AFCON, Rwanda atachukua nafasi yetu Tanzania

    Tujikumbushe nchi zilizoshinda bid ya kuandaa mashindano ya AFCON 2027 ni TANZANIA, KENYA NA UGANDA lakini sisi hapa nyumbani tunaongea sana kuliko vitendo. Nchi nyingine KENYA NA UGANDA wako site wanajenga na kukarabati lakini sisi tuko busy kuunda kamati za AFCON na kulipana posho tu lakini...
Back
Top Bottom