Ripoti ya usalama wa nchi ya kenya ya mwaka 2024 imeonesha kuwa kuna matukio zaidi ya 7,100 vya ukatili wa kijinsia yaliyorekodiwa tangu Septemba 2023.
Miongoni mwa matukio hayo, kesi 100 za mauaji ya wanawake zimeripotiwa tangu Agosti 2024.
Mmoja wa waathiriwa wa ukatili huu, Sarah Wambui...
1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya.
2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya.
3. Kuendelea kushupaza shingo. Ni kuruhusu mauaji zaidi na mdororo wa uchumi
Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao...
Ukimya wake tangu maandamano ya Gen Z yalivyoanza uliibua maswali na mashaka mengi juu ya uwezo wake, weledi wake yeye na wa jeshi la polisi kwa ujumla, na kwa yeye kuendelea kuhudumu kwenye nafasi alikua nayo jeshini.
Polisi kuwapiga risasi hadi kufa waandamanaji wa Gen Z, kulitia dosari na...
The number of Kenyan youths killed by police during the anti-finance bill protests continues to rise, as families of missing loved ones find their bodies in morgues.
In Mombasa County, one family discovered the body of their kin at the Coast General Hospital Morgue.
Joash Ombati was allegedly...
Huo ndio ukweli mchungu
Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge
Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu
Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake
Mlale Unono 😃😃
President William Ruto of Kenya today announced that he will not sign the controversial Finance Bill 2024 and he will withdraw it. He was addressing the nation after deadly protest in which more that 23 people were killed (according to Kenya medical association) and more that 50 injured...
Je vijana wa kitanzania tunajifunza nini kwa kile kinachoendelea kwa majirani zetu Kenya.
Vijana wa Tanzania Tunapitia changamoto zisizotatuliwa kwa wakati.
~ AJIRA
~ MAZINGIRA MABAYA YA UWEKEZAJI KWENYE BIASHARA
~ MISHAHARA MIDOGO ISIYOKIDHI MAHITAJI KWA SEKTA BINAFSI NA ZA UMMA.
PIA SOMA...
Wakenya wanazidi kupaa kwenye vyombo vya habari kimataifa njinsi walivopinga kuhusu ongezeko la ushuru(tax) na matokeo yanaweza kuwa mazuri.
Wenzetu wana umoja sana hakuna uchawa wa kusifia sijui shangazi wa mbagara matitu.
Huku kwetu tulishatishiwa tukimbilie Burundi au kuwaishwa fasta kabla...
hali ya uchumi kenya
hali ya uchumi tanzania
kodi kenyamaandamananokenya
muswada wa sheria ya fedha kenya
siasa kenya
siasa tanzania
uchumi kenya
uhuru wa kuandamana
uhuru wa kutoa maoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.