maandamanano kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Matukio takriban 7,000 ya ukatili dhidi ya wanawake yaripotiwa kufanyika nchini Kenya tangu mwezi Septemba 2023

    Ripoti ya usalama wa nchi ya kenya ya mwaka 2024 imeonesha kuwa kuna matukio zaidi ya 7,100 vya ukatili wa kijinsia yaliyorekodiwa tangu Septemba 2023. Miongoni mwa matukio hayo, kesi 100 za mauaji ya wanawake zimeripotiwa tangu Agosti 2024. Mmoja wa waathiriwa wa ukatili huu, Sarah Wambui...
  2. and 300

    Ruto aachie ngazi kulinda uhai wa Wakenya

    1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya. 2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya. 3. Kuendelea kushupaza shingo. Ni kuruhusu mauaji zaidi na mdororo wa uchumi
  3. toriyama

    Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

    Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama Hali ya usalama kwa vijana walionekana Kenya inazidi kuhatarisha huku kukiwa na ongezeko la mauaji kwa vijana walioandamana kali ikiwa ni sehemu ya wanaodhani ni kulipa kisasi cha Rais wao...
  4. Tlaatlaah

    Haingekuwa rahisi kwa IGP Kenya kuendelea kuhudumu kwenye nafasi yake huku Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi wamefutwa kazi

    Ukimya wake tangu maandamano ya Gen Z yalivyoanza uliibua maswali na mashaka mengi juu ya uwezo wake, weledi wake yeye na wa jeshi la polisi kwa ujumla, na kwa yeye kuendelea kuhudumu kwenye nafasi alikua nayo jeshini. Polisi kuwapiga risasi hadi kufa waandamanaji wa Gen Z, kulitia dosari na...
  5. JanguKamaJangu

    Number Of Missing, Killed Youths Continue To Increase After Protests

    The number of Kenyan youths killed by police during the anti-finance bill protests continues to rise, as families of missing loved ones find their bodies in morgues. In Mombasa County, one family discovered the body of their kin at the Coast General Hospital Morgue. Joash Ombati was allegedly...
  6. B

    Kenya: Waandamanaji walivyoingia bungeni

    Hivi ndivyo vijana wa Kenya walivyoingia bungeni. Hatari sana!
  7. J

    Wabunge wamelipwa Posho Kujadili Bajeti halafu Finance Bill inakataliwa, Kwa Katiba ya Tanzania Bunge lingevunjwa!

    Huo ndio ukweli mchungu Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio ajiuzulu Kila Katiba ina Uzuri na Ubaya wake Mlale Unono 😃😃
  8. Richard

    President Ruto of Kenya is the type of person Africa need right now. He shows maturity in understanding deep and underlined issues

    President William Ruto of Kenya today announced that he will not sign the controversial Finance Bill 2024 and he will withdraw it. He was addressing the nation after deadly protest in which more that 23 people were killed (according to Kenya medical association) and more that 50 injured...
  9. Utawala2025

    Vijana kipi tunajifunza kwa wenzetu kenya?

    Je vijana wa kitanzania tunajifunza nini kwa kile kinachoendelea kwa majirani zetu Kenya. Vijana wa Tanzania Tunapitia changamoto zisizotatuliwa kwa wakati. ~ AJIRA ~ MAZINGIRA MABAYA YA UWEKEZAJI KWENYE BIASHARA ~ MISHAHARA MIDOGO ISIYOKIDHI MAHITAJI KWA SEKTA BINAFSI NA ZA UMMA. PIA SOMA...
  10. Kaka yake shetani

    Wakenya wakifanikiwa kwenye maandamano yao basi watatuona Watanzania wajinga sana kwenye nchi yetu

    Wakenya wanazidi kupaa kwenye vyombo vya habari kimataifa njinsi walivopinga kuhusu ongezeko la ushuru(tax) na matokeo yanaweza kuwa mazuri. Wenzetu wana umoja sana hakuna uchawa wa kusifia sijui shangazi wa mbagara matitu. Huku kwetu tulishatishiwa tukimbilie Burundi au kuwaishwa fasta kabla...
Back
Top Bottom