maandamano afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Suala la maandamano tuwaachie wakenya pekee, maandamano ya Uganda yameshatulizwa, Maandamano Tanzania hatuna muda nayo

    Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri. Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi...
  2. H

    Maandamano dhidi ya Serikali za kiafrika yajikite kwenye kupinga matumizi makubwa ya viongozi na Serikali

    Habarini, Shida zote ndani ya Afrika zinatokana na matumizi makubwa ya serikali kwa kununua magari ya kifahari na kujilipa mishahara na marupurupu makubwa pasipo kujali kuondoa huduma mbovu za wananchi. Wananchi wagome na kuandamana dhidi ya matumizi mabaya ya raslimalinza serikali na siyo...
Back
Top Bottom