Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.
Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi...