Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.