Aisee mambo ya Gen Z wa Kenya yamenikumbusha mbali.
Mwanzo wa mwaka tuliona kina CHADEMA eti wanaandamana kila Jiji baadae maandamano yakayeyuka ghafla🤪🤪🤪🤪
Nini kilitokea maana walikuwa wanapewa ulinzi kabisa wakidai maisha magumu. Je, saizi maisha ni rahisi?
Swali: Maandamano ya CHADEMA...