maandamano tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Matukio yanayoongoza wakati huu ni utekaji, mauaji, teuzi, maandamano na kesi. Je, nini kinafuata?

    Kwema Wakuu! Pattern za Kisiasa Mwaka huu kuelekea uchaguzi zimekaa kiajabu sana. Katika intelejensia patterns hizo zinaweza kuonyesha lengo au matokeo yanaweza kuwa kitu gàni. Kwa siasa za Miaka ya hivi karibuni yàani miaka kumi hii patterns hizo zinafanana kwa kiasi fulani. Ukiangalia miaka...
  2. W

    Suala la maandamano tuwaachie wakenya pekee, maandamano ya Uganda yameshatulizwa, Maandamano Tanzania hatuna muda nayo

    Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri. Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi...
  3. Migomo kuelekea uchaguzi inahitajika, watarudi wenye maarifa na hekima

    Mpo salama bila shaka. Inapotokea migomo ya nyakati hizi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ni muhimu kuiendea kwa umakini. Wanasiasa wanaelewa nazungumzia nini. Watatuzi wa migomo lazima wawe na ujuzi, uwezo na hekima za kuongea mbele za Watu. Sio unachagua mtu asiye na...
  4. Rais Samia karuhusu watu kuandamana kwenye awamu yake. Mnaolialia kuhusu watanzania kutoandamna ni wapuuzi, anzisheni nyinyi hayo maandamano

    Kila mtu anajifanya kulalamika ooh watanzania waoga. Ooh watanzania hawajielewi. Ooh watanzania hawajui haki zao. Sababu tumeona Kenya vijana wanaandamana. Lakini hapa Tanzania Rais ameruhusu watu kuandamana, nyinyi mnaolalamika kuhusu watanzania nini kinawazuia kuanzisha hayo maandamano...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…