Rais Yoweri Museveni amewaonya Wananchi wanaopanga Maandamano ya Julai 23, 2024 yanayolenga kupinga Vitendo vya Rushwa nchini humo.
Museveni amesema "Una haki gani unayotafuta kwa kuleta machafuko? Tuna shughuli nyingi za kuzalisha mali, unapata chakula cha bei nafuu, sehemu nyingine za dunia...