Kiongozi wa haya maandamano ni nani?
Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza?
Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.