Katika wimbo wake mpya, Mwanamuziki Roma Mkatoliki amekilinganisha Chama Cha Mapinduzi na Maandazi na kudai ikiwa atatakiwa kuchagua, atachagua Maandazi badala ya CCM. Siyo lengo kumjadili Roma kwa vile simfahamu binafsi, bali kujibu hoja ikiwa "Kupitia Dola, Serikali imeua hari ya vijana kutaka...