maandiko ya biblia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Zamani za Biblia za agano la kale walikuwa wanatumia calendar gani kabla ya calendar za Warumi?

    Kabla ya ujio wa Julian calendar 46 BC watu wa zamani walikuwa wanatumia calendar ipi? Miaka ilikuwa inahesabiwa vipi enzi za Biblia ya agano la kale? Walioishi miaka 900 ni kwa kutumia calendar ya miezi 12 au tofauti?
  2. Morning_star

    Sasa ni mwendo wa kutumia maandiko ya Biblia kupiga hela!

    Leo nimepita kituo cha mwendokasi cha mbezi mwisho! Hiki kituo kilikuwa na utitiri wa watu wanaojinasibu wanahubiri injili ilihali ni kutafuta hela kwa njia ya sadaka! Sasa leo nimekuta spika kubwa ya kiwete akitumia maandiko ya Biblia kuhalalisha kuchangiwa! (Matayo 25:40) Kitendo hicho bila...
  3. Mhaya

    Unabii wa mchungaji Moses Kulola wa mwaka 1997 kuhusu vita ya Urusi watimia mwaka 2023

    Katika mahubiri yaliyofanyika huko Mwanza, mchungaji Moses Kulola alitoa unabii juu ya vita ya Urusi ambao chanzo chake ni Nato na akasema kutakuwa na Vita kubwa chini ya Urusi. Na pia akasema Urusi imeandikwa ndani ya Biblia, na kiuhalisia biblia ni kitabu kilichojaa matukio mengi yanayotokea...
  4. EINSTEIN112

    Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

    1 Tim 4:12 SUV Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi. Lk 2:52 SUV Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu. Efe 6:11-18 SUV Vaeni silaha zote za Mungu, mpate...
  5. ChoiceVariable

    Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

    Habari Hivi ndivyo Wazungu wanahalalisha Israel kuendeleza Uvamizi wa Ardhi ya Wapalestina Kwa visingizio vya Imani na maandishi ya kwenye Biblia. Kauli kama hizi za kina Pompeo ni za kulaaniwa na wapenda Haki wote. ========...
Back
Top Bottom