Hapa town kwa sasa kila kona hawa jamaa wapo, wanapika chapati nzuri na napenda sana namna wanavyo pika na kugeuza chapati kwa madoido.
Wanatuokoa sana sisi mabachelor, kwa 500/= tu unachukua chapati ya uhakika, sio zile za mama lishe ambazo ni nyepesi kama vitambaa.
Wanaofanya biashara hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.