Mwaka huu 2024 utakua ni mwaka wa 5 tangu maamuzi ya mahakama ya rufaa ya kukazia hukumu iliyotolewa na mahakama kuu katika kesi iliyohusiana na umri wa binti kuolewa ambapo serikali ilitakiwa kurekebisha sheria hiyo ili wasichana wasiolewe kabla ya kufikisha miaka 18. Lakini mpka sasa, bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.