Mada:
Habari wanajamii,
Mabadiliko ya tabianchi ni moja ya changamoto kubwa zinazokabili dunia yetu leo. Tumekuwa tukisikia kuhusu ongezeko la joto, ukame, mafuriko, na majanga mengine ya asili yanayohusishwa na mabadiliko haya.
Ningependa kujua jinsi mabadiliko ya tabianchi yameathiri...