Kwakuwa tulikuwa tunajua fika kuwa tutawafukuza Wamachinga maeneo Wasiyotakiwa Kisheria kufanya Biashara zao na baada ya Wiki Mbili tutawaonea Huruma, huku Wengine wakitupa Rushwa ili Kuwarejesha kwanini Hela ( Mamilioni ) tuliyoyapoteza Kutengeneza Mabango Makubwa ya Kuwazuia Wamachinga kufanya...