ikumbukwe tarehe 9/6/0223 trc ilipokea mabehewa 6 ya ghorofa yaliyokarabatiwa na kamouni ya
Lückemeier Transport & Logistik ya Ujerumani na wakati wa mapokezi msemaji wa seriakli wa kipindi ndugu msigwa alituhaidi kufikia july ya mwaka huo tungeweza pokea maabehewa manegine kati ya 24 yaliyokuwa...