Na Salehe Mohamed
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
SERIKALI itaweka hadharani kiwango cha fedha kilichorudishwa na kampuni zilizochota fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupitia Akaunti ya Malipo ya Nje (EPA), baada ya wiki mbili kuanzia sasa.
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...
Hivi sasa ndiyo kwanza nimemaliza kusikiliza tarifa muhimu kwamba ile Tume ya Rais ya EPA ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha za malipo ya akaunti ya madeni ya nje pale BoT imeeleza kuwa imefikia mahali pazuri kutoa taarifa yake.
Tume hiyo katika taarifa yake imesema imeweza kusaidia kurejeshwa...
Baada ya hekaheka za Richmond Bunge kuendelea na kikao Ijumaa
Na Waandishi Wetu, Dodoma
BUNGE linaendelea na kikao chake Ijumaa, baada ya kuahirishwa kutokana na mtikisiko wa kuvunjika Baraza la Mawaziri, uliosababishwa na ripoti ya Kamati Teule ya Bunge ya kuchunguza mchakato wa ushindi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.