maboresho ya sheria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OR TAMISEMI

    Mkurugenzi Beatrice Kimoleta: TAMISEMI yafanya maboresho ya Sheria na Kanuni Mikopo ya Asilimia 10

    Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Beatrice Kimoleta amesema baada ya Serikali kutangaza kurejesha mikopo ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imefanya masuala mbalimbali kuboresha mikopo hiyo kwa kufanya marekebisho ya Sheria ya...
  2. i_denyc

    SoC04 Maboresho ya sheria yanayoendana na kasi ya Mapinduzi ya Nne ya Viwanda

    UTANGULIZI Mapinduzi matatu ya viwanda yaliopita yalileta maendeleo ya kiteknolojia ambayo yalibadilisha kwa kiasi kikubwa hali ya kiuchumi na kijamii, hivyo kulihitajika marekebisho ya kisheria yanayolingana ili kushughulikia changamoto na fursa mpya zilizojitokeza kwenye jamii. Sheria za kazi...
  3. Suley2019

    Ndalichako: Maboresho ya Sheria ya fidia kwa Wafanyakazi yaja

    Serikali imewahakikishia majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Kazi, kuwa inafanyia kazi maoni na mapendekezo yao kuhusu maboresho ya Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako amesema hayo leo...
  4. R

    Lissu tuambie, unaamini Bunge la sasa linaweza kufanya maboresho ya sheria ya vyama vya siasa,uchaguzi na katiba mpya?

    Tunakubaliana wote yaani CCM na upinzani kwamba Bunge la sasa halina uhalali kutokana na uharibifu uliofanywa kwenye uchaguzi 2020. Tunakubaliana wote kwamba dhamira ya Mhe. Rais aitengenezi vifungu vya sheria Bali inaweza Tu kufungua milango Kwa mabadiliko ya sheria. NI wazi kabisa kwamba...
  5. Roving Journalist

    Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza

    MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUTENGEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA 2023/ 2024 Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mchakato wa Katiba Mpya pamoja na maboresho ya sheria ya vyama vya siasa na Uchaguzi unatarajiwa kuanza kufanyiwa kazi baada kupitishwa kwa makadirio ya mapato na...
Back
Top Bottom