mabucha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. and 300

    Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

    Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
  2. K

    Kulikoni mabucha ya wanyama pori

    Serikali ya Awamu ya Tano ilitoa utaratibu wa kuwezesha Watanzania kufungua mabucha ya wanyamapori mradi tu wawe wamefuata utaratibu. Hapa Mwanza kuna rafiki yangu alifuata taratibu zote na alianza kujenga bucha kwa gharama kubwa, alinunua gari ya kuwindia, alinunua bunduki ya aina yake kwa...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Wakala wa Vipimo mko wapi? Mabucha ya nyama Chanika yanawapunja wateja

    Habari! Siku moja kwa makusudi kabisa nikaamua kuwa mkaksi, nikasema nitanunua nyama kwenye duka(bucha) lenye mizani iliyo kamili kabisa. Nikaanza duka la kwanza nikakuta upande wa kuwekea mawe kuna jiwe la nusu kg. Nikamuuliza muuzaji, "Hili jiwe la nini ilhali mizani iko free haina nyama"...
  4. K

    Serikali imefikia wapi suala la mabucha ya nyamapori?

    Serikali ilitoa ruhusa kuwa mtu /watu wanaotaka kuanzisha mabucha ya nyama pori ni ruhuksa mradi wamefuata taratibu zilizowekwa na Serikali. Tangu agizo hilo litolewe watu wengi wamekarabati maeneo yanayotakiwa kuwepo kwa mabucha hayo hasa hapa Mwanza lakini sasa yapata miezi mitano hakuna...
Back
Top Bottom