Wanafunzi zaidi ya 100 katika shule ya sekondari Nyerere iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro watalazimika kulala madarasani baada ya mabweni yao kuteketea kwa moto ambao chanzo chake hakijajulikana bado.
Kufuatia kutokea kwa ajili hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu ameuagiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.