Machame is an area on the south-western slope of Kilimanjaro in Tanzania. Historically, she was in 1889 referred by Hans Meyer as a great African giant, also the largest and most populous of all the Chagga states in Kilimanjaro, whose ruler as early as 1849 was reckoned as a giant African king with influence extending throughout all Chagga states except Rombo. By the 1860s, a German explorer Von der Decken (popularly known to the Chagga as Baroni), presented Machame as a confederation of western Chagga states comprising Narumu, Kindi, Kombo, to as far as the Western end of Kibongoto, each with their own chiefs under the king of Machame. 'Baroni' observed that by that time only two of the Chagga states had some autonomy from the king of Machame, namely, Lambongo (later Kibosho under powerful chief Sina) and Kilema. The rapid and certain disintegration of its influence over other Chagga states after an atrocious attack and her subsequent subjugation by Sina of Kibosho in the mid-1889, led to a highly confined influence constrained between Machame itself and a neighbouring ward, Masama, where a frail sultan of Machame seemed to alternate in abode. Although by 1889 she was still estimated to comprise almost 20% of all the population of the Chagga, towards the end of the 19th Century Machame distinctly became a lowly chieftaincy still with claims of influence over Masama. Today Machame retains some of its beauty once praised by missionaries and explorers of the 19th Century, with much of historical sites that remind of her admired historical past. The exciting view of mount Kilimanjaro from Machame and the adventurous route to its peak has continued to be the source of tourist attraction to this once a giant African state.
The name "Machame" therefore refers to an ethnic and linguistic group of people occupying this area historically as its homeland, as well as the specific location.
Ndugu zangu, hapa nilipo nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya mjomba wangu kufanikiwa kukomboa kikoba cha ukoo kilichokuwa kwenye hatihati.
Wanachama wa kikoba tafadhali malizieni ada zenu za uanachama ili wajanja tuje kuzisasambua hapa machame.
Christmass hii itakuwa bomba sana.
Wakuu nataka nijitose nikamuoe mtoto wa mwenyekiti pale machame ila hofu yangu kubwa je mimi kapuku inawezekana? Mimi mtumishi wa tamisemi kweli ninaza kwenda kumuoa yule mtoto? Na hiyo ndiyo ndoto yangu ya kila siku aiseee kwa sababu najua nikimuoa yule mimi umasikini bye bye na hakika...
MBUNGE SAASHISHA MAFUWE: MILIONI 300 KUJENGA DARAJA MACHAME
Daraja la Makoa lililopo Machame, ambalo limejengwa kipindi kirefu na ambalo lilikua ni kero kubwa imeanza kujengwa upya kwa gharama ya shilingi Milioni 300.
Akizungumza baada ya kufika kukagua ujenzi wa daraja hilo, mbunge wa jimbo...
TAARIFA KWA UMMA
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linatoa taarifa kwa wadau wa utalii na umma kwa ujumla kwamba linafunga kipande cha njia cha "ARROW GLACIER" ambacho hutumika na baadhi ya wageni wanaopanda Mlima Kilimanjaro kupitia njia ya Machame, Umbwe, Lemosho na Londorosi...
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya...
Hii kampuni ilianza Kwa speed ya 5G , Kwa safari Za Dar Es Salaam kwenda arusha.
Ili fungua Ofisi kila mahali Huku Dar Es Salaam na Arusha .
Ukilipanda ulikuwa Unapewa soda , juice na pipi sasa gari zimeadimika barabarani Tatizo ni nini!!
Au wanahisi walichomoa Huku Hisa zao!!
Protea Hotel Aishi Machame ni hotel inayo milikiwa kwa urithi na Freem A. Mbowe. Kwa ushauri wa mtu ambaye si busara kumtaja hapa, Mbowe aliwapa Protea Hotel waiiendeshe ikiwemo na maana watumie brand yao kumtafutia wateja kwa ujira wa mrahaba wa mapato.
Kwa vile Mbowe anajua faida ya kuwa...
Kutokana na kuripotiwa kwa matukio mengi ya uhalifu ambayo yamekuwa yakisababishwa na wananchi wenyewe kwa wenyewe Serikali imedhamiria kujenga vituo vya polisi kwaajili ya kupunguza matukio ya uhalifu ambayo yamekuwa yakiripotiwa ya mara kwa mara.
Hayo yamesemwa na Naibu waziri Wizara ya Mambo...
Mhasibu wa Machame Sekondari jirekebishe au serikali ingilieni kati
Mimi ni mwanafunzi nimemaliza hapo mwaka huu
Mhasibu huyu amekuwa akinitongoza kwa muda mrefu Sana, nimetoa taarifa kwa walimu hawajanipa msaada, nimetoa taarifa ya maandishi kwa Mkuu hakuna msaada.
Ninaomba wanajukwaa na...
MAPOKEZI YA MBOWE HAI YA DODA, WANANCHI WASUSIA, CHADEMA YATANGAZA KUGAWA NYAMA KWA KILA MHUDHURIAJI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mapokezi ya ujio wa aliewahi kuwa Mbunge wa Hai ndugu Mbowe yameingia dosari baada ya wananchi wengi kuonesha kutokuwa na munkari nae tena kama zamani, hii...
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.
Ratiba ya ujio wake Jimboni humo...
Leo tujionee hili jina maarufu sana kwa watoto wa kike wa kichaga.
Manka ni jina la asili la kichaga analomiliki mtoto wa pili wa kike kuzaliwa.
Hata kama hatolitumia lakini huwa linajulikana tu baada ya kuzaliwa wa pili kwa watoto wa kike.
Jina Manka uchagani(kote kwanzia Rombo hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.