machimboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Uzi maalumu wa wazee wa machimboni, pori kwa pori ,visa na mikasa, hapa wapambanaji wataeleza mazonge waliyopitia sehemu mbalimbali,

    Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana, Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini, Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Heka Hela za machimboni: Hizi ndizo sifa za Hoteli (migahawa) ya masankuloni ukiwa machimboni

    Enyi wadau ukienda machimboni halafu upite kula masankuloni basi kuwa makini. Kwanza hoteli hizo Huwa chini ya mti mkubwa kama mwembe ama utakuta wamefunga hema na jioni litaondolea nk. Wa mama lishe mara nyingi chakula hupikia kwao majumbani na kubeba Kila Asubuhi Hadi sehemu husika. Mara...
  3. IBRA wa PILI

    Moja ya kumbukumbu mbaya machimboni nchini Msumbiji. Lakini maisha lazima yaendelee

    Mwaka 2021 nikiwa hapa home tz nilikua na pesa flani ambayo nilipanga niagize bidhaa Ali express nianze kuuza maana Nina uzoefu na kuagiza mizigo huko kutoka China through Ali express bahati mbaya ikaingia Corona ikavuruga mipango yote. Nilishawai leta thread ya kutaka ushauri wa kununua bidhaa...
Back
Top Bottom