WAFANYABIASHARA DODOMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA UJENZI WA MACHINGA COMPLEX
▪️Jiji kujenga sakafu kupunguza nguvu
▪️Mbunge Mavunde awachangia 10m kutunisha mfuko wa Soko
▪️Awataka Mgambo wa Jiji kuacha kutumia mabavu
▪️Aahidi kuwaunganisha na Taasisi za fedha kwa ajili ya mitaji
▪️DC...