Mkuu wa Wilaya ndio mwakilishi wa Rais, changamoto zote za wilaya lazima zianzie kwa Mkuu wa Wilaya kabla Mkuu wa Mkoa hajaingilia kati.
Sheria ya Tawala za Mikoa Na.19 ya Mwaka 1997 kifungu cha 14 na 15 vinamtaja DC kama msimamizi mkuu wa shughuli za maendeleo katika wilaya.
Leo asubuhi...