machinga tanzania

The Machinga are a Bantu ethnic and linguistic group native to Kilwa District of Lindi Region on the southern Indian Ocean coast of Tanzania. In 1987 the Machinga population was estimated to be 36,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. mdukuzi

    Machinga wa Mwanza mmepoa sana, si Makoroboi wala Langolango. Njooni Dar mjifunze amsha amsha

    Business is not for everyone. Wafanyabiashara machinga wa makoroboi na langolango mmepoa sana, soko zima husikii kelele za kuita wateja wala zile spika za amsha amsha. Utadhani uko supermarket, hata supermarket kuna music laini hupigwa. Hakuna kubembeleza wala kumshawishi mteja, hakuna kusema...
  2. Torra Siabba

    Machinga Mwanza warudi kwa kasi barabarani

    Wakati serikali mkoani Mwanza ikiwa imetenga maeneo maalumu kwaajili ya Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga kufanya biashara zao, wafanya biashara hao wameanza kurudi kufanya biashara kandokando ya barabara jambo ambalo lilipigwa marufuku na Serikali. Jana nilifanya ziara...
Back
Top Bottom