Shamba Heka Mbili Na Nusu Limeshuka Bei Kutoka Million 10 Mpaka Milioni 8 tu Lipo Kibaha Madafu
Mmiliki anachangamoto ya mgonjwa Mwenye Uhitaji Wa Shamba Aje Chap Tuongee Biashara, Shamba Liko Umbali Wa Kilomita 6 Kutoka Morogoro Road,
0675 065906
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumba
nyumba inauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanja
viwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
Nimeshtuka sana kuona hii video, kumbe madafu ni bidhaa unayoweza kuisindika na kuiuza ndani na nje ya nchi ikiwa fresh kabisa.
Inauwezo wa kutoa hadi ajira 10,000 kwa kiwanda kimoja, kuanzia kwenye mashamba hadi uuzajI.
Madafu sio lazima kuuza kwenye baiskeli, hata supermarket inawezekana...
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni.
Saa moja mapambano yakaanza na tukamuona Muuza Madafu anaingia kwenye uwanja hivyo nikajua hapa kweli jamaa...
Muuza Madafu wa Ikulu, Barnabas Alexander, leo atapanda ulingoni kuzichapa na Fredy Sebastian kwenye hii Dar Boxing Derby. Hii ni exhibition fight lakini mabondia wote ni wapya kwenye ulingo mbali na kuwa wanaonekana wanajua michezo.
Je unadhani Komando Madafu atatoboa?
Habari wakuu, natumaini mapambano ya maisha yanaendelea…
Mimi sio mwandishi mzuri ila nitajihidi nieleweke, bila kupoteza wakati, leo ningependa kushare jambo kuhusu pesa za moto’ (real story)
Jamaa tumuite Hassan’ alichukuliwa na boss mmoja kutoka kijiji nakuletwa mjini kuuza Duka, alifanya...
Kumekuwa na mjadala mkubwa kama yule ni mimi au sio Mimi.
Nimekuja mbele Yenu wa JF ili nijibu hoja na maswali yenu. Ila yule sio mimi.
Karibuni kwa maswali.
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja...
Mnaacha kutumia muda wenu mwingi kufikiria kwa Akili Kubwa jinsi ya kutatua Changamoto lukuki zinazowakabili Watanzania na Taifa la Tanzania nyie Kutwa mpo katika kutengeneza Maigizo ya Kipumbavu na Kishamba (kama mlivyo) ili tu muonekane Mnapenda na kujali kila Mtu, Wanyenyekevu na mno Huruma...
A new report by World Bank has pointed why late former president Kibaki was Kenya’s best chief executive.
Chanzo: The EastAfrican
Kama Hayati Kibaki mpaka leo hakuna Mtu aliyevunja Rekodi yake ya kupata A zote za Masomo ya Hesabu Chuo Kikuu cha Makerere nchini Uganda ataachaje kuwa Mtendaji...
Maji ya nazi (Madafu) ni kinywaji maarufu sana mtaani. Ni maji hanayopatikana kwenye nazi changa (Cocos nucifera) ambayo hubadilika kuwa tui baada ya kukomaa kwa nazi.
Kumekuwepo na madai kuwa maji haya sio salama kwa watu wenye Ugonjwa wa figo. Kwa kuongezea, mdau wa JamiiForums amesema kuwa...
Habari ndugu zangu. Nimekuja kuwatisha tena. Maji ya nazi/madafu yana madini ya potasium kwa wingi sana. Matunda kama machungwa na ndizi yana potasium kwa wingi lakini hayagusi hata kidogo kwa madafu.
Sasa basi. Potasium kazi yake kubwa ndani ya mwili ni kujihusisha na masuala ya umeme. Mishipa...
Hivi wakomunist uchwara wanafahamu Karl Marx hakutaka Mungu. Na alichoanza kupambana nacho ni dini. Ndio maana akasema dini ni KILEVI CHA UBONGO.
Ukomunist ni mifumo haitaji Mungu. Kwa hiyo mkomunist hawezi kutuambia kuwa ana dini au anaamini Mungu.
Kuna dhana ya kuwa serikali haina dini ila...
Inaaminika kuwa ugonjwa wa mabusha husababishwa na unywaji wa maji ya madafu. Madai haya hupata mashiko makubwa zaidi kwa kuwa tatizo hili huwapata wanaume wengi wanaoishi Mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi, ambako madafu hupatikana kwa wingi.
Madai haya yana ukweli kiasi gani?
Jitihada za kuhakikisha kwamba Watanzania wanapata maji safi na salama chini ya Rais Samia Suluhu ni jitihada za kupongezwa sana kwani zimekuwa na muendelezo chanya tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani.
Kwa mujibu wa ripoti ya tathmini ya ukuwaji wa uchumi katika robo ya kwanza ya mwaka...
RAIS JOHN POMBE MAGUFULI NA MADAFU YA ODEON CINEMA
Ndugu zangu hii clip ya Rais Magufuli akinywa madafu Odeon Cinema imenikumbusha mbali sana.
Kwanza imenikumbusha jengo la senema yenyewe ambayo sisi tumezaliwa tumeikuta na umaarufu wake kwa kuonyesha michezo ya Kihindi ya akina Ranjan na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.