madai nssf

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A.MTALE

    Wakuu naomba kuelimishwa, baada ya kufungua madai NSSF, Total Contributions inasoma Zero, Statement hakuna kitu

    Wakuu habarini!. Naomba kupata ufafanuzi ikiwa status ya madai yangu ya mafao status inasoma PENDING lakni nikiangalia statement salio inasoma 0.00, na Contributions inasoma NO Contributions.
  2. W

    KERO Malalamiko kuhusu ucheleweshaji wa malipo ya faida ya uzazi (Maternity Benefits) na NSSF

    Maelezo ya Malalamiko: Naandika malalamiko haya kwa niaba ya ndugu yangu ambaye ni mwanachama wa NSSF na alifuata taratibu zote zinazohitajika ili kudai faida za uzazi (maternity benefits). Nyaraka zote muhimu ziliwasilishwa kwa wakati, ikiwa ni pamoja na cheti cha daktari na fomu za madai...
  3. The patriot man

    Naombeni ufafanuzi kuhusu NSSF ili niweze kuchukua mafao yangu

    Kwema wakuu, Mkataba wangu uliisha nikaona nikachukue mafao yangu NSSF nikakamilisha taratibu zote. Wakaniambia ni Subiri week 3 Sasa kabla ya week nikaona hela imengia Sema ilikua ni ndogo saana ila wameandika NSSF Ilala Transaction type CREDIT Ila nimeangalia account yangu salio liko...
  4. K

    Naomba msaada wa ufafanuzi kuhusu hii status ya NSSF

    Wakuu, Naomba msaada wa hii status ya NSSF kwenye account yangu. Ni week ya 4 sasa tangu nifungue madai ya pesa zangu huko ila status inasoma bado lodged.
  5. B

    Naomba kufahamu utaratibu wa pensheni kwa watumishi wa umma hasa Mawaziri baada ya kutenguliwa nafasi zao

    Masaa machache yaliyopita, nimeona baadhi ya mawaziri waandamizi na wakurugenzi wakitenguliwa nafasi zao. Swali langu: Je, viongozi wa umma nao huwa wanalipwa fao la kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6? Baada ya miezi 6 hawalipwi chochote hadi baada ya miezi 18 ndipo huchukua pensheni zao...
  6. K

    Msaada: Inachukua muda gani kulipwa NSSF tangu kufungua madai?

    Wadau mimi nilifungua madai ya NSSF kijitonyama mnano the 1 June 2024, nikaambiwa nisubiri mwezi mmoja nitakuwa nimeingiziwa fedha baada ya ajira yangu kukoma mweI January 2024, sasa tunaelekea siku 60 bila kitu. Je, kwa uzoefu wenu inachukua siku ngapi kupata malipo?
Back
Top Bottom