Baadhi ya wafanyabiashara Morogoro tunadai hela TEMESA za kuwasambazia bidhaa kwaajili ya magari yao toka 2022 mpaka Leo hawajatulipa, tumeshatuma barua za kuulizia kwanini wanachelewa lakini hawatoi majibu yoyote.
Kuna kikao kilifanyika mwezi wa tatu mwaka 2024 cha wafanyabiashara wote...
Anonymous
Thread
akala wa ufundi na umeme
madaiserikalini
temesa
temesa morogoro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.