Hii ni True Story!
Nilikuwa na mgonjwa amelazwa ward hospitali ya Serikali ya Rufaa Zaidi ya wiki….
Pamoja na kuwa madaktari wa Intern walikuwa wanajitahidi sana ila walishindwa kujua tatizo lake, badala yake walikuwa wanaongeza tu dozi ya dawa moja wanayo ijua bila kujiuliza kwa nini haimsaidii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.