Madale Beach (Indonesian: Pantai Madale), is a beach in Poso Regency, Central Sulawesi Province, Indonesia, about 5 kilometres (3.1 mi) northeast of Poso town. Surrounded by tropical and mangrove forest, the white sand beach is a notable snorkeling spot. Rumah Katu Marine Park is located here.According to the Indonesian Ministry of Tourism, the waves in Madale is relatively quiet, so tourists can snorkel or dive without hesitation.The largest and only coral reef on Sulawesi Island, located on Madale. With a depth exceeding 40 m, marine species such as sponge, giant crabs, and black-striped shark live here.Destruction of coral reefs often occurs here. Fishermen's primitive methods to get results using fish bombs, eventually making the top of the coral wall being damaged.
Nauza kitanda chuma 5X6 kwa Bei rahisi kabisa 120,000/ bad kipya kimetumika miezi4 tu!( Kimsingi hiyo elf20 itakuwa nauli ya kukuletea ulipo,hivyo (naamini kwa maeneo ya mbeZi,tegeta,goba au bunju hiyo nauli itosha kukifikisha ,ili adhima ya kupata laki1 nayohitaji itimie)!.
Kipo Madale Mwisho...
Habari!
Sisi ni wazalishaji na wauzaji wa mkaa wa kawaida. Tuna vibali vyote vya wakala wa misitu, na mkaa wetu unazalishwa kutoka kwenye misitu endelevu iliyo ruhusiwa kuvunwa.
Gunia zetu zimeshonwa vizuri na haziendi zikidondosha mkaa, tunatumia mifuko mipya na kamba madhububuti kusuka...
Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school
Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters
Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko
Inatank la maji la lita 3000
Bei ni 170M
Karibuni sana
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot inataka milion 150 maongez kidogo
NB; ZINGATIA PLOT INAGUSA BARABARA KUBWA YA LAMI, PATAFAA SANAA...
beach
beach plot
bunju
for sale
ghorofa
house for sale
kigamboni
kigamboni housegosale
kisasa
madale
magufuli
mbezi
mbezi beach
mbweni
nyumba
nyumba ya ghorofa
plot
plot for sale
plots
sale
university
upanga
viwanja goba
Habari za wakati huu...
Eneo linauzwa madale mivumoni...
Lipo karibu na shule ya atlas
Eneo limezungukwa na njia kubwa kabisa pande zote nne...
Eneo lipo tambalale kabisa...🔥
Eneo linafaa kwa projects kubwa kama shule,hospital na hata viwanja vya michezo au sports academy..
Pia kwa wale...
Kiwanja kinauzwa kipo Madale njia ya kuelekea Mbopo umbali wa 1km kutoka lami.
Kinaukubwa wa 1000 square meters
Bei ni 40M
Mazungumzo yapo
Tucheki kupitia 0674630975 ama
+255 714 796 778
Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa,
Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami,
Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni,
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1
0656077998
Tusaidiane kufikisha hili kwa mamlaka husika.
UCHIMBAJI MCHANGA UNAVYOHARIBU BARABARA YA GOBA - MPAKANI KWENDA MADALE.
Kutokea Goba - Mpakani , eneo maarufu kama "kwa ajali" ukiwa unaenda Madale kabla hujakutana na barabara ya mbopo, Kuna mto una tenganisha haya maeneo.
Changamoto ni kwamba...
Wasalaam!
Katika pilika pilika nimekutana na hii route ya daladala.Yaani unaanzia Mbezi Louis stendi kwenda Mwenge lakini unatakiwa kupitia Madale road ,,Bagamoyo road.Wadau hii route tunaionaje au ni kutafuta mzunguko tuu wa Bure kufika Mbezi Louis au Mwenge.
Habari ndugu!
Kuna kero inaendelea huku Tegeta Msigani kwenye Mto wa Kinondo. Mwenyekiti wa CCM wa Serikali za Kijiji amezidiwa tamaa ya pesa na mapolisi wa Madale. Kuna wachota mchanga kwenye bonde ambapo sasa hivi limepanuka zaidi na kuwa mto, hivyo wanafunzi wanaosoma Msigani Primary wapo...
Habari za mchana ndugu zangu,
Natafuta kiwanja kisichokua na mgogoro na kilichopimwa maeneo ya Madale Mivumoni au karibu na apo, kiwanja kiwe na ukubwa wa 800sqm na budget isizidi 30M.
Ahsante.
Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024)
🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi.
🔸ANAEJUA HESABU.
🔹Umri miaka 25 au zaidi.
🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani.
Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano.
MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
Habari!
Napenda kuchukua nafasi hii kuwasilisha kilio cha Watanzania wanoishi na kutumia barabara ya kuanzia madale mwisho kwenda mbopo had mabwepande.
Hali ya barabara hii ni mbaya, ukijumlisha na mvua zinazoendelea! Barabara zimekatika na kutenganishwa na maji, tunalipia kubebwa migongoni...
Habari wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye kelo yangu juu ya Dawasco.
Kumekuwa na changamoto ya kukatiwa maji mara kwa mara na baada ya kukata huyu kijana hatoi maelezo kwa mhusika. Akishakata huwa anadai 15000 kurejesha maji. Navyoelewa mteja anatakiwa kupewa taarifa ya mdomo kisha barua ya...
Mdau wa Jamii Forums amelalamika kuwa kuna kero huku Madale, Barabara ya Wazo Madale tangu iwekwe lami haifanyiwi usafi kiasi cha mchanga na udongo kujaa na kufunika sehemu kubwa ya Barabara, hali hiyo inasababisha utelezi hasa wakati wa mvua.
Viongozi wa Serikali za Mtaani kama wamelala...
Kiwanja kiunauzwa kipo madale kina uku wa square meter 520 Tsh 9,000,000 kina barua ya manunuzi kutoka serikali ya mtaa huduma zote za kijamii zipo Tuwasilane 0686995586 karibu sana.
Barabara ya kwenda Mbopo kupitia Madale Mikoroshini, Bwawani hadi Panga Boy ni mbaya, kipande cha kutoka Panga Boy hadi Mbopo kiasi fulani imerekebishwa. Wananchi waiomba Serikali iwatazame kwa jicho la Huruma.
Awali kuna mtu alilalamika mtandaoni kwa kuandika: “Tunaomba mtusaidie Barabara ya...
Tunaomba Serikali itusaidie Barabara ya Madale Mwisho kwenda Mbopo kupitia Mikoroshini, Barabara ni mbovu sana na usafiri wa huko ni Bodaboda tu, wanapandisha bei mara iwe shilingi 2,000 mara shilingi 1,500.