madam opiyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DOKEZO Shule ya Sekondari Thaqaafa ya Mwanza ingewambia ukweli wazazi badala ya kuchukua ada zao wakati shule inachukuliwa na msikiti

    Walimu hamuwalipi, wakidai haki zao mnawafukuza, watoto wanakaa mpaka miezi 2 bila mwalimu, mnakusanya ada pesa mnapeleka kwenye makesi ya kung'ang'ania umiliki wa shule. Kila siku mnawadanganya wazazi kwamba kituo mnarudishiwa mwakani, je nyinyi ndio serikali?? Kwaiyo mnajipangia wenyewe...
  2. Z

    Mwalimu bingwa wa Chemistry madam Opiyo ameacha kazi Shule ya Sekondari Thaqaafa

    Madam Opiyo bingwa wa Chemistry aliyefanya kazi Thaqaafa secondary school zaidi ya miaka 28 ameacha kazi. Wakurugenzi wa shule za Mwanza na mikoa Jirani huu ni muda sahihi wa kunasa sahihi ya madam Opiyo. Kwa wanaomfahamu wanaelewa nachosema, ni mchapakazi haswa.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…